Katika maisha unapaswa kujua kuwa kuna mambo ambayo yako ndani ya uwezo wetu na kuna mambo ambayo yako nje ya uwezo wetu.Na hapa ndiyo falsafa ya ustoa inapoingia. Unaweza kuweka juhudi katika maisha yako, unaweza kufanya kila unachoweza lakini huwezi kuamua matokeo gani yatokee. Bahati huwa ina nafasi ya mwisho katika maisha yetu. Tunapaswa kuweka …
Continue reading "Unaweza Kuweka Juhudi Lakini Huwezi Kuamua Hiki"