Usimchukie Mtu, Bali Chukia Hiki

Katika maisha tunaalikwa tupendane, na pale inapotokea mtu amefanya ndivyo sivyo basi tueleweshane kwa upendo. Kila binadamu ana udhaifu wake, hivyo ukisema umchukie kila mtu kadiri ya udhaifu wake utabaki peke yako duniani na kila mtu utamwona ni mbaya. Chukia dhambi na wala usimchukie mtu. Mtu ataweza kuja kubadilika sasa kama umemchukia maana yake itakuja …

Jinsi Ya Kuwa Mtumwa Wa Sasa

Kati ya viumbe waliopendelewa sana na Mungu basi ni binadamu. Tumepewa akili ambayo inatutofautisha na wengine wote. Ila sasa, changamoto yetu wengi hatutumii uwezo huu mkubwa ulioko ndani yetu. Hebu pata picha hapa, tumeshindwa kuwa kama samaki lakini tukatengeneza vifaa vinavyoelea majini kwa kutumia akili. Tumeshindwa kuruka kama ndege lakini tumetumia akili kutengeneza ndege inayoruka …

Kama Mahusiano Yako Yamekosa Hiki…

Asili ya kila binadamu ametokea katika mahusiano, kila mmoja wetu mpaka tunazaliwa ni wazi tunatokea katika mahusiano ya kama vile kutoka kwa wazazi, ndugu, nk. Mahusiano mengi siku hizi yamekuwa na changamoto kwa sababu ya kutokuishi misingi ya mahusiano. Mahusiano yetu mengi yanajengwa na uaminifu, na sasa kama uaminifu haupo ndani ya mtu maana yake …

Kile Unachohofia Mara Nyingi Kinakuwa Hivi

Mara nyingi kile tunachohofia hata huwa hakitokei. Ni sisi tu binadamu tunapenda kutengeneza mazingira ya hofu ambazo hata kiuhalisia hazipo. Hofu huwa tunaanza kuitengeneza akilini. Tukishaijaza hofu akili na mwili unapokea matokeo yake tunashindwa kuthubutu na kufanya kile tulichochagua kufanya. Dawa ya hofu ni wewe kuingia mzima mzima. Bila kujali nini kitatokea, na hata unachohofia …

Huyu Ndiye Mtu Pekee Ambaye Anaweza Kukuambia Huwezi

Yuko mtu ambaye ana nguvu kubwa sana katika maisha yako ambaye ni wewe mwenyewe.Unajua kiasili hakuna mtu ambaye ana mdharau mtu au kumtukana mtu ila yale maoni au tafsiri tunazojipa kupitia jambo tuliloambiwa ndiyo linaleta mambo kuwa mabaya.Kumbe basi, tafsiri zetu ndiyo machaguo yetu. Watu wa nje wanaweza kukuambia vile wanavyoweza lakini wa kutoa ruhusa …

Jiandae Kwa Fedha Hii Muhimu

Fedh ni muhimu sana katika maisha yetu na hilo halina ubishi. Fedha inatusaidia kulipia bili mbalimbali kwenye maisha yetu. Kwa lugha rahisi fedha ni mfalme. Anayekuambia fedha siyo muhimu huyo ni mnafiki na huenda hata yeye anafikiria hela ya kula ataitoa wapi ndiyo maana anakujibu hivyo. Dunia ina fedha nyingi sana na baadhi ya fedha …

Wewe Hauko Huru Mpaka Uwe Na Uwezo Huu

Changamoto moja ya watu wengi ni kushindwa kujitawala. Watu wengi wanaendeshwa na hisia sana na karibu maamuzi mengi watu wanayofanya wanayaamua kwa kutumia hisia halafu wanakuja kuhalalisha kile unachoongea kwa kufikiri. Watu wanaendeshwa na tamaa nyingi, tamaa ya mapenzi, tamaa ya kufanya anasa na nk. Ni kundi chache sana la watu ambao wanaweza kujitawala. Wewe …

Unatakiwa Kubishana Kwa Mbinu Hii

Watu wengi hawana uvumilivu katika kuchangia mambo kwa hoja. Wengi wanapenda kushindikiza kitu ambacho wao wanaona kinafaa kwa mabavu na siyo hoja. Kokote pale utakapokuwa usishawishi watu kwa mabavu bali kwa hoja. Muoneshe mtu faida ya kile unachotetea na kwanini akubaliane na wewe. Pia ni rahisi kumshawishi mtu lakini maamuzi bado yako mikononi mwake kuamua …

Hivi Ndivyo Unavyopaswa Kuwa Imara

Kama mpaka leo unalalamika juu ya magumu au changamoto, jiambie kuwa magumu au changamoto ni sehemu ya maisha ya kila binadamu ambaye anavuta pumzi.Hivyo , kukwepa changamoto ni kukwepa maisha yako. Hivyo basi, unapaswa kuwa imara kama vile maji. Maji ni kitu cha ajabu sana kina nguvu kupita maelezo. Kizuizi chochote utakachokiweka kwenye maji, maji …

Design a site like this with WordPress.com
Get started