Huwa tukifikiria historia ya maisha yetu, kule tulikotoka na tukijilinganisha na wengine huwa tunajiona na kujikuta kama vile hatuna maana hapa duniani. Siyo kila mmoja wetu historia yake ni nzuri, ni wachache sana wanatokea katika familia zenye historia nzuri lakini wengine ni historia mbaya wala hazifai kusomwa mbele za watu hata kuandikwa kwenye vichwa vya …
Huu Ndiyo Muda Mzuri Wa Kuishi
Jinsi tunavyoishi na kutumia muda wetu utafikiri kama vile tutaishi milele. Tunatumia muda wetu vibaya, tunasogeza mambo mbele tunafikiria kuwa labda mambo baadaye yatakuwa ni mazuri zaidi ya sasa. Tunafikiria kuwa kuna muda mwingine mzuri wa kuishi. Kumbe tunajidanganya sisi wenyewe. Muda mwingine mzuri wa kuishi ni sasa. Kwa sababu wakati wa sasa ndiyo una …
Tabia Zinatengenezwa Pale Tunapopitia Magumu
Ruben Gonzalez aliwahi kunukuliwa akisema, tabia zinatengenezwa pale tunapopitia magumu. Kwa kuwa watu ni wagumu katika kujenga tabia lakini linapokuja suala la hatari watu wanakuwa makini sana kuchukua tahadhari juu ya jambo litakalojitokeza. Sisi watanzania tumekuwa na utamaduni wetu wa kusalimiana kwa kupeana mikono na ni ngumu kuacha tabia hiyo kirahisi lakini kwa kuwa tabia …
Continue reading "Tabia Zinatengenezwa Pale Tunapopitia Magumu"
Asilimia 95 Ya Kila Unachofanya Kinatokana Na Hiki
Mwanafalsafa Aristotle, aliwahi kunukuliwa akisema, asilimia 95 ya kila kitu wanachofanya watu, ni matokeo ya tabia. Kumbe, hata wewe kusoma kila siku kupitia mtandao huu ni tabia ambazo umejijengea. Kuamka mapema kila siku ni tabia ambazo umejijengea. Hakuna mtu ambaye amezaliwa na tabia fulani bali, tabia zote ambazo tunazo leo tumezitengeneza sisi wenyewe. Mtu mmoja …
Continue reading "Asilimia 95 Ya Kila Unachofanya Kinatokana Na Hiki"
Kama Hupendi Fedha Zako
Fedha ni zao la thamani. Na huwa wote tunalipwa kadiri ya thamani tunayotoa sokoni. Kama thamani yako ni kubwa utalipwa zaidi na kama thamani yako ni ndogo utalipwa kidogo. Ni asili ya binadamu kuwa usipopenda kitu chako mwenyewe hakuna atakayekipenda. Tukirudi katika fedha, usipozipenda fedha zako mwenyewe hakuna atakayezipenda.Kumbe basi, kila mtu anaalikwa kuzipenda fedha …
Jinsi Ya Kuwa Mtu Makini Kwenye Maisha Yako
Dunia yetu inahitaji watu makini sana karibu kila eneo la maisha yetu tunahitaji watu makini.Watu wasipokuwa makini mambo mengi yataathirika. Kama hakuna watu makini basi kuna wazembe na hawa wazembe ndiyo wanaoleta madhara katika maisha yetu. Leo tunakwenda kujifunza jinsi ya kuwa makini kwenye kila eneo la maisha yetu. Ipo njia rahisi sana ya sisi …
Continue reading "Jinsi Ya Kuwa Mtu Makini Kwenye Maisha Yako"
Huu Ndiyo Msingi Wa Uzalishaji
Kila mtu ana kitu ambacho anazalisha. Na unapozalisha kitu unapata matokeo ya kile unachozalisha. Iko njia ya kuongeza uzalishaji kwenye kile unachofanya. Na msingi mkuu wa uzalishaji kwenye kile unachofanya ni kuongeza thamani. Kuongeza thamani ndiyo msingi mkuu wa uzalishaji. Kile unachozalisha jitahidi sana uongeze thamani kwa sababu kila mtu anazalisha je wewe unazalishaje? Kafanye …
Kila Sehemu Ina changamoto Zake
Tunapokutana na changamoto huwa tunafikiria kuwa labda ungekuwa unaishi sehemu fulani usingeweza kukutana na changamoto fulani. Kifupi, hakuna sehemu ambayo ni salama au siyo salama. Jinsi unavyoyapokea mambo na kukabiliana nayo ndiyo yanakupa picha. Mtu anaweza kusema, kazi au biashara hii imenichosha hivyo ni bora nibadilishe kwani imekuwa na changamoto kubwa. Hata ukibadilisha kazi au …
Hiki Ndiyo Kitu Pekee Kinacholeta Ukamilifu Katika Kazi
Asili ya binadamu ni kazi na kazi ni rafiki wa kila binadamu anayependa mafanikio makubwa. Mtu hawezi kupata kile anachotaka bila kuwa na kazi. Kazi inatusaidia kupata kile unachotaka katika maisha yako na siyo vinginevyo. Utu wa mtu ni kazi, ukiwa unafanya kazi na dunia inakuhesimu. Wako watu ambao wanapenda mafanikio lakini hawataki kufanya kazi. …
Continue reading "Hiki Ndiyo Kitu Pekee Kinacholeta Ukamilifu Katika Kazi"
Kama Watu Wanataka Kupiga Hatua…
Kila mtu amepewa utajiri wa akili. Na akili hizi tulizopewa ndiyo zina zalisha watu matajiri na masikini. Duniani hakuna mtu masikini bali kuna akili masikini. Akili ikilala mambo yote yanalala. Tunatofautiana kwa jinsi tunavyofikiria mambo, kila mtu anachukilia jambo kadiri ya uelewa wake. Wako wanaoamini kuwa wamezaliwa kuja kufanya kusudi fulani lakini wako wasioamini hivyo. …