Mwandishi mmoja aliwahi kusema, njia ya moja ya kuishi muda mrefu hapa duniani ni kuwa mwangalifu. Ni kweli, kuwa mwangalifu kwenye kila eneo la maisha yako na utaishi kwa muda mrefu. Na njia bora ya kujenga utajiri mkubwa ni kuwa na maisha marefu ambapo una miaka mingi na nguvu za kufanya kazi. Linda afya yako …
Kuwa Mwema Na Tenda Mema
Usiishie Kusoma Tu, Lazima Ufanye Hiki
Usisome tu, lazima usome kuongoza. Kile unachojifunza lazima ukipeleke katika uhalisia wa matendo. Aliyekuwa mwanafalsafa wa ustoa mwanafalsafa Marcus Aurelius aliwahi kunukuliwa akisema, Jipe wakati wa kujifunza kitu kipya na kizuri, na uache kuzungushwa." Hakikisha unajipa wakati wa kujifunza kitu kipya lakini pia upate wakati wa kukifanyia kazi kile ulichojifunza. Kama unasoma au kujifunza na …
Asili Huwa Ni Mwamuzi Mzuri
Jinsi Ya Kufikia Malengo Yako
Ni kuweka mipango inayopimika. Mtu ambaye anapima malengo yake kwa namba ni rahisi kuyafikia kuliko yule mtu ambaye ana malengo halafu hana namna ya kupima malengo yake. Njia rahisi ya kufikia malengo yako ni kucheza na namba muhimu katika kile unachofanya. Kwa mfano, kama unataka kufikia utajiri lazima uwe na malengo ni aina gani ya …
Nguvu Ya Upendo
Cheza Na Soko Utapata Kile Unachotaka
Mambo Mawili Usiyajua Kuhusu Nidhamu
Kumbuka wewe ni binadamu. Kuna wakati unateleza na kufanya kile ambacho unajua kabisa siyo sahihi. Kukosea ni sehemu ya maisha ya binadamu.Dunia isikukulaghai kwa kukujengea hatia katika hali ya kukosea na kujiona haufai. Katika maisha ni muhimu kuwa na nidhamu. Nidhamu ni daraja la mafanikio. Lakini unapaswa kutambua kuwa masharti yakiwa mengi sana yatakubana na …
Hii Ndiyo Aibu Yenyewe
Aliyekuwa mwanafalsafa wa ustoa na mtawala wa Roma Marcus Aurelius katika kitabu chake cha meditations anatushirikisha kauli hii, "Aibu: roho kukata tamaa wakati mwili bado una nguvu" Hii kauli imenitafakarisha sana na mwandishi Robin Sharma anasema ni moja ya mstari anaoupenda sana. Kumbe, ukikata tamaa wakati una nguvu hiyo ni aibu kubwa. Je, ni mara …
Eneo Ambalo Watu Wengi Wanaliibia Muda
Ni eneo la mapumziko. Watu wanalala lakini wakiamka wanakuwa wamechoka na wanakuwa wanasinzia kwenye magari hata makazini. Mwili wako unahitaji mapumziko ya kutosha ili uweze kupata ufanisi na kupambana na mafanikio yako. Heshimu muda wako wa mapumziko, ukipanga kulala basi lala kweli. Uwe na muda maalumu wa kulala kila siku, kama wewe ni wa masaa …