Jinsi Ya Kuwa Mwanahistoria Mzuri Wa Maisha Yako

Watu wengi wanaishi kienyeji, hawana utamaduni wa kuandika kumbukumbu zao. Mali bila daftari hupotea bila kujua. Ili uweze kuwa Mwanahistoria mzuri wa maisha yako, weka kumbukumbu sahihi. (Keeping accurate records) Watu hawaweki kumbukumbu, ukitaka kuwakamata watu watake wakupe rekodi mbalimbali wanazoweka. Kwa mfano, muulize mtu mwambie naomba kujua rekodi ya mauzo yako katika biashara atakuambia …

Uwezo Ni Kama Ukweli

Huwa tunafikiri kuwa tunaweza kufunika uwezo wa mtu binafsi. Ni ngumu sana kufanya hivyo, kazi nzuri huwa inaongea yenyewe. Hata kama unampiga vita mwenzako kwa thamani kubwa aliyokuwa nayo, utakayeendelea kuumia ni wewe mwenyewe. Kwa sababu, mtu kama anajua anajua tu, na mtu anayejua lazima afanye vizuri. Ifikie mahali ukubali kuwa mwenzako amekuzidi sehemu fulani. …

Usijisifie Juu Ya Hili Kwani Huwezi Kuisimamisha Dunia

Njia za binadamu siyo njia za Mungu. Kuna wakati sisi kama binadamu ambao tumepewa mamlaka fulani ya kuwatumikia watu inafikia mahali tunajiona kwamba sisi ndiyo sisi bila sisi hakuna kitakachoweza kufanyika. Sisi ni sehemu ndogo tu katika dunia hii, hata wewe usipotoa michango yako katika hii dunia kadiri ya ubinafsi wako usijione kwamba dunia haiwezi …

Watu Huwa Wanaona Na Kusikia Hiki Hapa

Unapotaka kuongea na watu hakikisha watu unaotaka kuongea nao wanataka kusikia nini, usipofanya hivyo utakua unajisumbua bure. Kama ulikuwa hujui tabia ya watu iko hivi, kwa kawaida, sisi binadamu huwa tunaona kile tunachotaka kuona. Ndiyo maana unaweza kwenda kwenye maonesho ya vitu au ununuzi wa vitu fulani wewe ukaona kile unachotaka. Watu wana ubinafsi wa …

Kama Unataka Kununua Kitu Na Huna Hela Fanya Hivi

Watu wengi wakiwa hawana fedha na wanataka kitu, chaguo lao la kwanza ni kwenda kukopa. Hii siyo, sawa. Ukiona huna fedha ya kununua kitu unachotaka maana yake bado hujamudu kuwa na kitu hiko ndiyo maana huruhusiwi kwenda kukopa. Bali, unatakiwa kuongeza kipato chako ili uweze kupata fedha za kununua kile unachotaka. Kukopa siyo suluhisho kama …

Kama Unataka Kununua Kitu Na Huna Hela Fanya Hivi

Watu wengi wakiwa hawana fedha na wanataka kitu, chaguo lao la kwanza ni kwenda kukopa. Hii siyo, sawa. Ukiona huna fedha ya kununua kitu unachotaka maana yake bado hujamudu kuwa na kitu hiko ndiyo maana huruhusiwi kwenda kukopa. Bali, unatakiwa kuongeza kipato chako ili uweze kupata fedha za kununua kile unachotaka. Kukopa siyo suluhisho kama …

Unapoendelea Na Mapambano Dunia Itakupatia Hiki

Kitu ambacho hatupaswi kufanya katika maisha yetu ni kukata tamaa. Usiharibu maisha yako ya kesho kwa sababu ya hali unayopitia sasa. Hali uliyonayo sasa haitoweza kudumu milele, bali ni ya muda tu. Watu wote waliowahi kufanikiwa duniani hawajawahi kukata tamaa, leo hii hata mimi binafsi ningekata tamaa katika kazi yangu ya uandishi huenda hata usingenijua. …

Design a site like this with WordPress.com
Get started