Kwenye haya maisha utachelewa kufika kule unakotaka kwenda kama ukisuburia kupewa ruhusa ya kufanya kile unachotaka kufanya. Watu wengi wanakaa huku wakisubiria mtu fulani aje awape ruhusa ya kufanya kile wanachotaka kufanya. Dunia haiko hivyo, ukitaka kupata kile unachotaka, usisubiri kupewa ruhusa, jiruhusu mwenyewe kuingia kwenye kile unachotaka kufanya. Watu wengi waliofanya makubwa hawakusubiri ruhusa …
Continue reading "Kitu Ambacho Watu Wengi Wanakisubiria Kwenye Maisha Yao"