Kwa kuchagua kufanya makubwa ili ufanikiwe, kwa kuchagua kuendelea kujifunza na kujaribu vitu vipya, utazalisha matokeo ya tofauti — matokeo ambayo hayajazoeleka. Hilo litaleta kwako kundi kubwa la watu ambao watakukosoa, watakudharau, na watakukatisha tamaa. Kundi hili litaonekana kuwa na nguvu na lenye hoja sahihi kwa namna watakavyokusema vibaya. Lakini ukweli ni kwamba, watu hawa …
Continue reading "NJIA TISA ZA KUWASHINDA WAKATISHAJI TAMAA-1"