Mpendwa rafiki, Hakuna kitu chochote kitakachokuja katika maisha yako bila kazi. Hata ulale kama chakula hakiwezi kukufuata hapo ulipo lazima utainuka na kwenda kukifuata chakula kiwepo. Kila kitu kinahitaji kazi, ili upate fedha unaitaji kuweka kazi na ili uache alama unahitaji kuweka kazi pia. Kwa lugha rahisi, maisha ni kazi hilo halina ubishi kwa sababu …
Continue reading “Mambo Muhimu Ya Kufanya Kama Unataka Kuwa Tajiri”