Mpendwa rafiki yangu, Katika karne hii ili uweze kubaki salama katika mahusiano yako ni kuwa mwaminifu sana. siyo tu kuwa mwaminifu tena ikiwezekana uwe na kisima chako mwenyewe na kama unataka kunywa maji basi unyewe maji ya kisima chako mwenyewe. kwa sababu visima vingine hujui nani kapita na wala hujua kama maji unayokunywa ni salama …
Continue reading “Jinsi Ya Kumlinda Mwenza Wako Katika Maisha Ya Ndoa”