Kuna kitu ambacho watu wengi wanapuuzia bila kujua ni kitu muhimu kwa kila mtu. Kama uko hai na unaishi kwenye karne 21 basi unapaswa kujifunza kitu hiki kimoja ambacho tunakwenda kujifunza leo. Unatakiwa ujifunze kuuza. Jifunze namna ya kuuza kwenye kile unachofanya kwa mfano, kama wewe ni mwalimu jifunze kuuza ualimu wako, kama wewe daktari …
Continue reading “Kama Unaishi Kwenye Karne Ya 21 Usiache Kujifunza Kitu Hiki Hapa”