Hiki ni kipindi cha kutengeneza njia zetu za kiroho ili ziwe safi. Pata picha chumba kisichosafishwa mwaka mmoja kinakuwaje? Sasa kwanini hutaki kumalizana na jirani yako? Mliyekoseana karibu mwaka mzima. Unaonaje mkifanya mazungumzo, myamalize na myaweke sawa? Miili yetu ikichafuka huwa tunaoga, nguo na vitu vingine vikichafuka huwa tunavisafisha na kuwa safi. Vipi roho zetu? …
Continue reading “Njoo Tuyazungumze Na Tuyaweke Sawa Upate Zawadi Ya Kitabu Kimoja”