Bilionea na mwekezaji Warren Buffet aliwahi kusema, uaminifu ni zawadi ya ghali sana, usitarajie kuipata kwa watu wa kawaida. Kwa zama hizi tunazoishi kuna vitu viwili vimekuwa adimu ambavyo huwezi kuvipata kwa kila mtu bali ni watu wachache tu. Navyo ni; Moja, uaminifu. Watu wengi siku hizi siyo waaminifu. Hata kama wewe ni mwaminifu kiasi …
Continue reading “Vitu Viwili Vya Kuwa Navyo Kwenye Zama Hizi”