Tatizo Ni Mawazo Yako

Rafiki yangu nikupendaye, Tatizo siyo dunia wala tatizo siyo watu, tatizo ni mawazo watu waliyokubali. Pamoja na siri za mafanikio kuwa wazi kwa kila mtu, bado watu wengi hawafanikiwi. Ni rahisi kuona labda kutakuwa na tatizo na watu au dunia itakuwa na matatizo. Lakini ukweli ni kwamba, watu siyo wabaya, wala dunia siyo mbaya. Tatizo …

Biashara Inayolipa Zama Hizi

Rafiki, Ukiangalia maisha ya watu wengi kwa nje utaweza kusema kwamba wametulia. Lakini, maisha ya watu wengi kwa ndani hawajatulia. Ukifanikiwa kutulia kwenye maisha yako, utaona raha ya maisha.Kama hujatulia kiroho, kimwili na kiakili, unaweza ukajikinai hata wewe mwenyewe na kuona hakuna maana ya maisha. Kwa kuwa watu wengi hawajatulia kwenye maisha yao, hawajutulia kwenye …

Wakikupa Fedha, Watakupangia Cha Kufanya

Rafiki yangu nikupendaye, Hakuna njia ya hovyo kama ya kuingiza kipato bila kutoa thamani.Kinachoingia kirahisi, kitaondoka kirahisi. Pata hela kwa njia ya kutoa thamani na siyo vinginevyo.Msingi mkuu wa kupata fedha, ni kutoa thamani.Kipato au fedha ni zao la thamani.Kumbe basi, unalipwa kulingana na thamani unayotoa.Thamani yako ndiyo inaamua wewe ulipwe kiasi gani lakini hata …

Kitumie Kujituma Zaidi

Rafiki yangu nikupendaye, Kwenye maisha kila mtu huwa ana ndoto zake. Na kuwa na ndoto ni kitu kizuri, kwa sababu bila ndoto unakuwa huna kitu kinachokusukuma. Mpaka hapo ulipo utakua na ndoto kubwa kwenye maisha yako si ndiyo?Sasa basi, tumia msukumo wa ndoto uliyonayo ili uweze kufanikiwa kwenye kile unachotaka. Yaani kile unachotaka, kikufanye uamke …

Itume Dunia Ikuletee

Rafiki yangu nikupendaye, Dunia tayari ina kila kitu, ni wewe kuituma na kuielekeza. Dunia imekamilika kwa kuwa na kila ambacho kinahitajika kwa maisha ya mafanikio. Kinachotakiwa ili mtu kupata kile anachotaka ni kuiambia dunia anataka nini kupitia mawazo yake, kisha kuweka juhudi katika kupata kile anachotaka. Ni wewe uchague kupokea kile unachotaka kwa kuielekeza dunia …

Kama Hujajipata Fanya Haya Hapa

Rafiki, Watu wengi ambao hawajajipata kwenye maisha huwa wanatabia ya kutaka kuishi kama wale ambao wamejipata. Ambaye amejipata, anaishi vile anavyotaka. Changamoto ya watu ambao hawajajipata, wanaiga maisha ya watu ambao tayari wamejipata. Hii inapelekea wengi kurudi nyuma, badala ya kwenda mbele. Kama hujajipata, usiigize maisha, ishi uhalisia wako. Maisha ya kuigiza kama umejipata kumbe …

Kuhakikisha Siyo Ujinga

Amini lakini thibitisha. Ndiyo kauli mbiu unayopaswa kuwa nayo mara zote kwenye maisha yako. Kuhakikisha siyo ujinga bali ni ujanja. Umakini wa mtu unapimwa kwenye kuhakikisha jambo alilofanya kama ni sahihi au siyo sahihi. Ukiandika ujumbe, kabla hujatuma kwa mtu, hakikisha kwanza, hakiki vizuri kile ulichoandika na namna nzuri ya kuhakikisha ni kwa kusoma kwa …

Usiangamie Zama Hizi

Rafiki, Hakuna zama za ushindi kama zama hizi. Hakuna zama ambazo zinaweza kukuwezesha wewe kuwa yule unayemtaka kama zama hizi. Zama hizi ukisema umeshindwa, umeshindwa mwenyewe kwa sababu hutaki tu. Lakini, kwa mtu ambaye anataka kitu, kuna kila sababu za kumwezesha kushinda. Kwenye kitabu cha dini, wanasema watu wangu, wanaangamia kwa kukosa maarifa. Usikubali kuangamia …

Kama Haijakulipa LeoItakulipa Lini?

Rafiki yangu nikupendaye, Kama kuna kitu chochote unafanya, usiwe na wasiwasi kuna siku kitakuja kukulipa. Watu huwa wanakata tamaa mapema pale wanapoona, uwekezaji waliouweka haujaweza kuwalipa. Kama haijakulipa leo, itakulipa kesho. Uwekezaji wowote ule unaofanya kwenye maisha yako, utakulipa, wala usiwe na wasiwasi.Uwekezaji ni suala la muda. Hivyo kile unachofanya au ulichowekeza kitakuja kukulipa tu. …

Usiamini sana kile ambacho Hakipo Mkononi mwako

Mara zote kuwa na imani na kile ambacho tayari unacho. Usiweke mategemeo sana kwa vitu ambavyo viko nje ya uwezo wako. Kwa mfano, usiweke mategemeo kwa mtu ambaye unamdai. Mtu akikuambia kesho atakuletea fedha, hata usiiweke akilini na kuipangia bajeti. Mara zote pangia bajeti kile ambacho tayari umekishika mkononi mwako. Usitegemee yajayo, tumia kwa uangalifu …

Design a site like this with WordPress.com
Get started