Rafiki yangu mpendwa, Katika safari ya mafanikio, kuna watu wawili: wale wanaosubiri ruhusa ili wafanye jambo, na wale wanaochukua hatua bila kusubiri ruhusa, kisha wakikosea, huomba samahani na kusonga mbele. Tofauti kati ya hawa wawili ni kwamba kundi la kwanza hukwama kwenye hofu na kusita, huku kundi la pili likisonga mbele kwa uthubutu na kuchukua …
Continue reading "Usisubiri Kuomba Ruhusa, Fanya Halafu Omba Samahani – Siri ya Mafanikio"