Rafiki yangu nikupendaye, Hakuna kitu ambacho kinatukwamisha kwenye maisha yetu kama ukomo ambao tumejiwekea kwenye kila eneo la maisha yetu. Tumeshajiwekea ukomo kwenye akili zetu kiasi kwamba hata mtu atuambie vipi akili zetu zinakataa. Kama akili yako umeshaiwekea ukomo, hakuna kitakachotokea mpaka pale utakapoifungua. Akili yako inakupa kile ambacho umekiaminisha.Kama unataka kufika mbali, anza kwanza …
Continue reading "Kama Unataka Kufika Mbali, Fika Kwanza Hapa"