Rafiki yangu nikupendaye, Fanikiwa kwenye kile unachotaka kufanikiwa. Inawezekana kabisa, ni wewe tu ndiyo unajizuia kupata kile unachotaka. Ukiamua unafanikiwa. Kama umeshajua kile unachotaka kwenye maisha yako, weka juhudi zaidi ili ukipate. Kinachowasumbua watu ni kwamba hawajajua wanataka nini, kama wewe umeshajua kile unachofanya, basi weka juhudi kukipata. Mwenye nia ya kutaka kitu, huwa hashindwi. …
Continue reading "Fanikiwa Kwenye Kile Unachotaka Kufanikiwa"