Habari Mpendwa Rafiki na Msomaji wa Kessy Deo. Natumaini hujambo na unaendelea vizuri. Karibu Rafiki nikushirikishe mambo muhimu niliyojifunza katika kitabu cha The Leader Who Had No Title. Mambo 20 niliyojifunza katika kitabu cha The Leader Who Had No Title na Robin Sharma ni kama ifuatavyo; Utangulizi: Robin Sharma ni mwandishi mashuhuri duniani aliyejitoa katika …
Continue reading "Mambo Ishirini (20) Niliyojifunza Katika Kitabu Cha The Leader Who Had No Title"