Habari ya asubuhi mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa hujambo na umeamka salama. Hongera sana kwa zawadi ya siku hii ya leo ni nafasi nzuri kwako kwenda kufanya kilicho bora ili kupata matokeo unayotaka. Rafiki, nikualike tena katika somo letu la leo ili tuweze kujifunza yale muhimu niliyokuandalia …
Continue reading "Kuwa na Matumaini Lakini Usiweke Mategemeo Yako Sehemu Hii"