Rafiki, Kukosoa ni rahisi sana. Ni rahisi kuinyooshea kidole dunia na kusema “hawafanyi vizuri,” “wanaharibu nchi,” au “jamii imeharibika.” Lakini mara ngapi tunajiuliza, nimefanya nini kuboresha mazingira yangu ya karibu? Tunataka mabadiliko makubwa duniani, lakini hatuko tayari kutengeneza vitanda vyetu kila asubuhi. Tunaishi kwenye kizazi ambacho kila mtu ana maoni, lakini wachache wana mfano wa …
Continue reading "Iweke Nyumba Yako Vizuri Kabla Hujakosoa Dunia"