Usiwe Na Huruma Katika Kufanya Maamuzi Haya

Mpendwa rafiki yangu, Kila siku tunafanya maamuzi, kuna maamuzi ya aina mbili maamuzi sahihi na maamuzi yasiyo sahihi. Wakati mwingine unajikuta unafanya maamuzi ya aina zote mbili sahihi na yale ambayo siyo sahihi. Aina zote za maamuzi ni maamuzi hata mtu usipoamua kufanya maamuzi nayo ni maamuzi. Linapokuja swala la mafanikio yako binafsi kama unafanya …

Hakuna Familia Inayoweza Kuthubutu Kuweka Bango Hili Mlangoni

Mpendwa rafiki yangu, Sisi wote tumetokea katika familia, sijui kama kuna mtu ambaye hajazaliwa katika familia? Ni mpango wa Mungu kila mmoja wetu azaliwe katika familia na familia ndiyo taasisi ya kwanza duniani, ukiona mtu ameweza kuwa bora katika familia basi amekuwa ni kielelezo kizuri cha jamii. Jamii yetu inategemea familia kuzaa wanajamii bora hivyo …

Kama Huna Kitu Hiki Usifanye Biashara

Mpendwa rafiki yangu, Huenda unakuwa unashangaa kwanini siku hizi sikushirikishi hapa makala za uchambuzi wa vitabu, jibu ni kuwa kama nilivyokuambia hapo awali ukitaka kusoma uchambuzi wa vitabu na kujifunza zaidi karibu katika mimi ni mshindi nimezaliwa kushinda clabu, karibu tujifunze kwa pamoja na kama Henry Ford alivyowahi kusema kama wote tukienda mbele basi mafanikio …

Hii Ndiyo Siku Ya Bahati Katika Maisha Yako

Mpendwa rafiki yangu, Kama ulikuwa hujui bahati huwa tunajitengenezea sisi wenyewe kadiri ya maandilizi tunayofanya, maandalizi yakija kukutana na fursa ndiyo tunakuja kusema ni bahati. Ni kweli kila mmoja wetu ana bahati yake lakini hakuna bahati inayokuja katika maisha yetu bila sisi wenyewe kujituma, kwa mfano, hufanyi kazi na una ndoto kubwa unafikiria iko siku …

Sehemu Pekee Ya Kuwekeza Fedha Zako

Mpendwa rafiki yangu, Kila mmoja wetu anajua fedha ni muhimu hilo halina ubishi, kila siku tunaamka kwenda kukusanya fedha ili tuweze kupata mahitaji yetu ya kila siku. Yule anayesema fedha siyo muhimu huenda akili yake haiku sawa. Katika dunia ya sasa ulinzi mkubwa wa kuwa nao ni fedha kwa sababu fedha ni mfalme atakupa kile …

Kansa Inayomaliza Wanandoa Wengi

Mpendwa rafiki yangu, Asilimia kubwa ya wanandoa wanaishi maisha ya usiri yaani hakuna utandawazi kila mtu anajua mambo yake mwenyewe. Na usiri mkubwa uko katika masuala ya fedha, hofu imetawala ndani ya maisha ya ndoa kila mmoja anajihami ili siku likitokea basi anajua anakimbilia wapi. Watu wanaishi maisha ya pamoja lakini hawajaingia wazima wazima katika …

Jinsi Yakujiondoa Katika Madeni

Mpendwa rafiki yangu, Kuwekuwa na kauli hasi sana zinazohamasisha watu kukopa katika jamii yetu, tena kuna wengine wanasema mtu asipokopa basi hajaumiza akili, wengine wanasema mkopo ndiyo kipimo cha akili utakaaje bila kudaiwa wewe wakati hata serikali inadaiwa. Watu wote wanaokimbilia kusema hayo ni wanakimbilia kuficha uzembe wao wa kutokufanya kazi. Kudaiwa siyo sifa nzuri …

Hii Ndiyo Dawa Ya Umasikini

Mpendwa rafiki yangu, Hakuna kitu kibaya kama umasikini kwa lugha rahisi tunaweza kusema umasikini ni laana, usipite mbele ya watu nakujisifia eti wewe ni masikini. Umekosa kitu gani mpaka ujiite masikini una kila kitu halafu bado unajiita masikini. Mtu mmoja katika kitabu cha from victim to victor anasema nchi yetu huwa inatoa chakula cha kutosha …

Vitu Viwili Vya Kuwa Navyo Katika Safari Ya Mafanikio

Mpendwa rafiki, Tunapokuwa tunasafiri huwa tunatafuta vitu ambavyo vitakuwa vinatupa kampani njiani ndiyo maana ukiingia hata kwenye mabasi utakuta wamekuwekea tv uungalie ili usiboreke na ufurahie safari yako. Wengine huwa wanakuwa na iya foni zao wakisikiliza mziki, wengine wanaingia wanatumia muda huo kutembelea mitandao ya kijamii na wengine watachukua vitabu vyao na kujisomea ili mradi …

Hawa Ndiyo Watu Adimu Kupatikana Siku Hizi

Mpendwa rafiki, Kila mtu anatamani kuwa na maisha anayoyataka hapa duniani. Hata wewe rafiki yangu kuna maisha unayoyataka hapa dunia na hakuna mtu anayelenga kuwa na maisha ya hivyo si ndiyo eeh! Kila mmoja wetu analenga kuwa na maisha mazuri. Hatuwezi kufanikiwa bila rasilimali watu, tunaweza kujiambia jeshi la mtu mmoja lakini huwezi kufanya kila …

Design a site like this with WordPress.com
Get started