Mpendwa rafiki yangu, Dunia ina rasilimali nyingi sana ambazo tukizitumia vema wala hatutakuja kujutia hata siku moja. Kama huna kazi ya kufanya basi usitumie muda wako hovyo kuupoteza bila kuufanyia kitu cha maana. Hivi unajua kuwa tuna muda wa kufanya vitu muhimu lakini hatuna muda wa kufanya kila kitu. Binadamu tuna asili ya uvivu na …
Continue reading "Rasilimali Ambayo Watu Wanaitumia Vibaya Na Kushindwa Kuwainua Kiuchumi"