Kila mmoja wetu ana malengo yake ambayo anayafanyia kazi kila kukicha. Bila kuwa na malengo tunakuwa hatuna tofauti na wanyama lakini sisi ni binadamu tunayo akili inayotuongoza kufanyia kazi malengo yetu. Haya malengo ambayo watu wanajiwekea huwa muda mwingine yanakuwa yanawaletea watu maumivu na hata kukatisha tamaa kabisa. Na miongoni mwa malengo ambayo yanawakatisha watu …
Continue reading "Haya Ndiyo Malengo Ambayo Unapaswa Kujiwekea"