Kwenye maisha, hakuna mahusiano ambayo yanaweza kusimama bila msamaha.Hakuna ndoa, hakuna urafiki, hakuna undugu, na hata hakuna uhusiano na wewe mwenyewe unaoweza kustawi bila uwezo huu muhimu wa moyo. Msamaha ndiyo pumzi ya mahusiano Mahusiano yote, hata yale mazuri zaidi, hupitia mitikisiko: Tunakoseana Tunapishana kauli Tunachokana Tunapishana matarajio Lakini kitu kimoja ambacho hurudisha uhai pale …
Continue reading "Hakuna Mahusiano Yanayoweza Kusimama Bila Kitu Hiki Hapa"