Kama unaona baadhi ya mambo katika jamii yako ni mabaya, na unataka kuyaboresha basi iko njia moja nzuri ya kufanya hivyo. Unatakiwa kuwaboresha au kuwabadilisha watu na ili kuwabadilisha watu unatakiwa kuanza na kitu kimoja. Na kitu hicho ni kuanza kuwa bora wewe mwenyewe.Kama tunataka kuwaona wengine wawe bora anza wewe kuwa bora. Kama unataka …
Continue reading "Kama Unataka Kuirekebisha Dunia Anza Na Kitu Hiki"