Unyenyekevu ni mama wa fadhila zote. Mtu ambaye amekosa unyenyekevu katika maisha hawezi kufika mbali. Usipokuwa makini na kiburi utaanguka chini. Kiburi ndiyo kitu cha kwanza kinachowaangusha watu katika kile wanachokifanya. Iwe ni kipaji, kazi au biashara ukiwa umeweka kiburi tu kinakunyang'anya mafanikio uliyonayo. Hata ukifanikiwa kiasi gani, usiwe na majivuno au kiburi. Hivi ni …
Continue reading "Usipokuwa Makini Huyu Hapa Atakunyang’anya Mafanikio Yako"