Kila mmoja wetu huwa ana safiri kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine.Mara nyingi tukishafika safari zetu huwa tunaenda kuwasalimia watu mbalimbali lakini tunamsahau mtu mmoja muhimu sana. Kwa kuwa tunao utamaduni wa kutembeleana basi usisite kwenda kumsalimu mtu huyu muhimu. Mtu muhimu unayepaswa kumsalimia kila mkoa unakoenda ni maktaba. Kwenye maktaba zetu za mkoa huwa …
Continue reading "Usiache Kumsalimia Mtu Huyu Hapa Kila Mkoa Unapoenda"