Katika sehemu ya kwanza tulizungumzia kuhusu uhaba na namna ya kuubadili kuwa utele. Kisha kwenye sehemu ya pili tuliona mtazamo wa kufa na kupona na namna ya kuubadili kuwa mtazamo wa mchezo na utulivu.Leo tunaendelea na Sehemu ya Tatu: ushindani. Mtazamo wa Ushindani Wengi wamefundishwa kuamini kwamba ili wao washinde, basi wengine lazima washindwe. Huu …
Continue reading "Mitazamo 4 ya Kubadili ili Kupata Fedha na Utajiri Mkubwa – Sehemu ya Tatu"