Tunapochelewa kufanya maamuzi huwa mara nyingi tunakuja kupata hasara baadaye, watu wengi wameshazoea kutumia msemo huu laiti ningelijua ningelifanya yale maamuzi mapema na kwa sasa hivi ningekuwa mbali. Kila mmoja wetu hapa kuna mahali alishawahi kuchelewa kufanya maamuzi hivyo kilichofuata ni majuto tu. Hauna haja sasa ya kuendelea na kukumbuka nay ale makosa uliyofanya kwa …
Continue reading “Hii Ndiyo Siku Inayoonewa Na Kubebeshwa Mizigo Na Watu Wengi”