Rafiki, Unapokuwa unafanya kitu chochote fanya kwa moyo lakini siyo kwa unafiki. Huenda kuna misaada unawasaidia wengine au kuna mtu unamsaidia kitu lakini ndani yako hupendi kufanya hivyo ila kwa nje unajionesha unapenda kufanya hivyo sasa huo ndiyo unafiki wenyewe. Au muda mwingine mtu anaweza kabisa kujua kitu fulani lakini ataweza kuja kwako na kujifanya …
Continue reading “Chochote Unachofanya Fanya Kwa Sababu Hii Moja”