Rafiki, Tumeumbwa kwa mfano na sura ya Mungu sasa kwanini tunatoafutiana kimatokeo na hata kiutendaji? Wote tumepewa uwezo mkubwa wa kufanya chochote kile kwa sababu uwezo huo tunao na uko ndani mwetu. Kwanini wengine wanaweza kuamka mapema asubuhi na wengine hawawezi, kwanini wengine wanaanzisha vitu vyao vinakwenda na wengine haviendi nini kinachotutofautisha ni swali makini …
Continue reading “Kitu Pekee Kinachokutofautisha Na Wengine Ni Hiki Hapa”