Elon musk anasema kuwa kama wewe unafanya kazi sana basi kuna mtu anayefanya kazi zaidi yako. Ukijiona wewe ni bora jua kuna bora zaidi yako. Hapa unatakiwa kujituma sana katika kile unachofanya kwa sababu usipojituma kuna mtu anajituma zaidi yako. Kwa chochote kile unachofanya jua kuna mtu anakwenda hatua ya ziada zaidi yako. Watu hawajajitoa …
Continue reading “Je Umejitoa Kafara Katika Kile Ulichochagua kufanya?”