Siku zote huwa nina amini kuwa matatizo yote ambayo mtu anayo mtu mwenye ndiyo anaweza kuyamaliza lakini siyo mtu mwingine. Mpaka mhusika mwenyewe aamue, hata katika mafanikio yoyote yale lazima mhusika aamue kile anachotaka kwanza kwani kanuni ya kwanza ya mafanikio ni kujua haswa kile unachotaka ndiyo utaweza kufanikiwa. Katika suala la fedha pia,tunaamini kuwa …
Continue reading “Mtu Anayepaswa Kulaumiwa Kwenye Matatizo Yako Ya Kifedha”