Heri ya mwezi Februari rafiki yangu, Wote tunajua kuwa fedha ni muhimu sana katika maisha yetu, na hilo halina ubishi. Huwa tunafanya kazi kwa shida lakini cha ajabu tunakuja kutumia fedha tuliyoipata kizembe. Cha ajabu ni kwamba, pale tunapopata mshahara, fedha au kipato chochote kile huwa tunafikiria kuwalipa watu wengine na kujisahau sisi wenyewe. Sasa …
Continue reading “Hiki ndiyo kitu pekee cha kufanya au kujali pale tu unapopata Mshahara au Fedha”