Kama Maisha Ya Chini Yamekuchosha Amua Kufanya Hiki Leo

Kama maisha ya chini yamekushinda fanya maamuzi ya kwenda juu. Maisha ya juu ni mazuri, hayana foleni unafanya kile unachotaka lakini maisha ya chini hayakupi kile unachotaka siku zote. Utatoka hapo ulipo kwenda juu endapo utafanya maamuzi ya kwenda juu na kuyachukia maisha ya chini. Siku zote kila kitu kinaanzia chini, ni kaburi tu linaanzia …

Jionee Hasara Ya Mtu Ambaye Alikataa Kusamehe

Kama uko hai basi msamaha unakuhusu na huwezi kuukwepa. Watu wako bize kufanya kazi lakini kuna vitu vidogo kama kuishi na vinyongo na kutosamehe vinawatesa kiasi kwamba hawafurahii maisha yao. Msamaha ni kuondoa uchungu uliombika ndani ya moyo. Msamaha ni kuondoa uchafu au sumu ndani ya mwili, kwa mfano vipi kama unakula kila siku halafu …

Fedha Hazibadilishi Tabia Za Wanandoa Bali Zinafanya Hiki

Huwa tunatengeneza tabia na kisha tabia zinatutengenezea sisi. Hakuna mtu aliyezaliwa na tabia ambayo anayo sasa ila tabia zote tumejifunza taratibu mpaka leo hii zimetushikilia tunashindwa kuziondoa. Kila mmoja anatabia yake na ndiyo maana wanandoa wakikutana kila mtu anajaribu kumshepu mwenzake katika tabia anayoina yeye ni sahihi. Tabia nzuri ni ile ambayo haiendi kinyume na …

Uchambuzi Wa Kitabu; UMEIWEKA WAPI TALANTA YAKO? Je umejiajiri, umeajiriwa au huna ajira?

Uchambuzi Wa Kitabu; UMEIWEKA WAPI TALANTA YAKO?Je umejiajiri, umeajiriwa au huna ajira? Na mwandishi Albert Nyaluke Sanga Mchambuzi; Mwl. Deogratius Kessy Utangulizi; UMEIWEKA wapi talanta yako ni kitabu kilichoandikwa na Albert Nyaluke Sanga. Talanta yako ni ujuzi wako, elimu yako, kipawa chako, uzoefu wako na pia karama yako. Talanta iliwekwa kwako ama uliipata kwa lengo …

Hii Ndiyo Njia Bora Ya Kuaminika Na Wengine

Kama unataka kuuza kitu chochote kwa wengine hakikisha kwanza umejenga uaminifu. Watu wanapenda kununua sehemu ambayo ina uhakika. Na uhakika unajengwa mahali ambapo kuna uaminifu wa hali ya juu. Je nawezaje kujenga hali ya kuaminika kwa wengine? Jawabu; Anza kujiamini wewe mwenyewe kwanza. Ukitaka watu wakuamini na wewe hujiamini, mfano mzuri, kama mtu anauza kitu, …

Maisha Chanya Hayaletwi Na Akili Hii

Mchezo mzima uko katika akili ya binadamu. Mambo yote tunayoyaona kwa nje basi yalianzia ndani ya akili. Akili ikiyumba na maisha yako yatayumba pia. Akili ikinenepa na mwili wako pia utanenepa. Maisha mazuri yanaletwa na akili chanya. Akili hasi kamwe haiwezi kukupa wewe maisha chanya. Watu huwa hawaamini hili lakini ona ushuhuda katika maisha yako …

Hii Ndiyo Akaunti Unayopaswa Kuilinda Kuliko Zote

Najua kila mtu ana akaunti, wako ambao wana akaunti za akiba, uwekezaji, kazi , biashara na akaunti nyingine zinazofanana na hizo. Leo ninakwenda kinyume na akaunti zote duniani na kukuambia akaunti moja muhimu ambayo huwa hauipi uzito kama akaunti nyingine. Licha ya kuwa akaunti muhimu kuliko zote lakini watu wanaichukulia poa tu. Tuko hapa duniani …

Hawa Ndiyo Mabingwa Wa Kuapa Na Kugeuka Duniani

Taaluma mbalimbali, miito mbalimbali kama vile ndoa watu huwa wanakula kiapo. Viongozi serikalini wanapopewa nyadhifa fulani huwa wanaapa. Kila mtu kadiri ya imani yake, anashika kama ni Qouran, Biblia ana apa kuwa atakua mwaminifu kutokana na cheo alichopewa.Watawa nao hivyo hivyo wanakiri nadhiri zao.Wanandoa nao huwa wanakiri na kula kiapo kuwa wataishi kwa uaminifu na …

Njia Moja Ya Kuepuka Kukosa Fedha Kabisa Katika Maisha Yako

Ni kawaida watu wengi huwa wanalala huku wakifikiria kesho watakula nini au watapataje hela ya kula. Hebu jiulize inakuwaje mtu anakua hana kabisa hela? Liko jawabu rahisi sana kwanini mtu anakua hana hela kabisa. Jibu ni moja tu hana thamani anayoitoa. Msingi wa fedha ni kutoa thamani, sasa kama huna thamani unayotoa maana yake huna …

Huyu Ndiye Mtu Ambaye Huwezi Kumdanganya

Yuko mtu ambaye anakujua vizuri kuliko hata watu wengine na mtu huyo siyo mwingine bali ni wewe mwenyewe. Utaweza kuwadanganya watu wote lakini ukweli ni kwamba huwezi kujidanganya wewe mwenyewe. Ukiangalia maisha yako, jinsi unavyoishi ndiyo utajua kama unawadanganya watu au la. Je hayo ndiyo maisha yako halisi? Kama siyo kwanini unaendelea kuishi maisha ambayo …

Design a site like this with WordPress.com
Get started