Hizi ni zama ambazo kila mtu yuko bize lakini ukipima matokeo hakuna kitu. Wimbo wa niko “bize” umekuwa unaimbwa karibu kila siku. Ukimwambia mtu afanye kitu fulani atakuambia sina muda yaani niko “bize”kweli.Ni rahisi kusema huna muda kama hujaupangilia muda wako vizuri. Kila dakika inayoenda lazima uwe umeipangilia kufanya kitu lakini unakuta watu wanasema hawana …
Continue reading “Dakika Kumi Na Tano (15) Tu Zinakutosha Kufanya Kitu Hiki Hapa”