Mpendwa rafiki yangu, Pale kitu kinapofanya kazi vizuri, ni vizuri kuendelea kukifanya ili upate matokeo mazuri zaidi. Kwenye haya maisha unapaswa kutumia kanuni ya msingi ya maisha. Hupaswi kuumiza kichwa sana kwa sababu mafanikio siyo kwa watu wenye akili sana, mafanikio ni kutumia akili za kawaida tu na kufanya yale ya msingi kufanya. Ukijaribu kufanya …
Fanya Kitu Hiki Kama Unataka Kupata Mafanikio Makubwa
Kutoka kwa Bilionea Charlie Munger anasema kwamba kama tunataka kupata mafanikio makubwa, lazima tufanye kazi. Lazima watu wasukumwe kwa zawadi na adhabu. Kama utaondoa adhabu, mfumo mzima hauwezi kufanya kazi. Huwezi kutajirika kwa kupiga kura. Ni wazo la kijinga. Mwisho wa kunukuu. Bilionea Charlie Munger kasema, kama unataka mafanikio makubwa, ni lazima kufanya kazi. Kazi …
Continue reading "Fanya Kitu Hiki Kama Unataka Kupata Mafanikio Makubwa"
Njia Bora Ya Kuimarisha Urafiki
Rafiki, Kama unataka kuimarisha urafiki,Ficha vya ziada ulivyonavyo.Kwa mfano pata picha una rafiki yako, ambaye kila mkikutana yeye anachoongelea ni fedha kiasi gani anazo, amepata au amepoteza. Na huku ukiangalia fedha anazozungumzia ni fedha ambazo hujawahi kuota hata kuwa nazo.Utajisikiaje kama ingekuwa ni wewe? Utaona kama anakusanifu tu au anakuinjoyi tu. Au mkikutana anajadili mambo …
Weka Nguvu Kwenye Eneo Hili
Mpendwa rafiki yangu, Kwenye maisha unapaswa kuweka nguvu kwenye kile ambacho kinakulipa. Usihangaike na mambo ambayo hayachangii wewe kuingiza fedha mfukoni.Mambo yasiyokuwa na maana ni mengi.Mambo ambayo unayafuatilia kila siku ni mengi na swali la kujiuliza ni kwamba, je hayo mambo unayojihusisha nayo yanakusaidia. Weka nguvu kwenye mambo yanayokulipa na utafanikiwa kweli.Acha kutawanya nguvu.Muda ulionao …
Usiendeshwe Na Mkumbo Kwenye Chochote Kile
Watu wengi kwenye jamii yetu huwa wanafanya maamuzi kwa kuendeshwa na silaha ya kufuata mkumbo yaani social proof. Watu hawana muda wa kufikiria na kuja na kitu cha ubunifu.Badala yake wanaangalia mwenzao wamefanya nini ili na wao wafanye. Na asilimia 5 ya watu duniani ndiyo wabunifu. Asilimia 95 ya watu duniani wanaiga tu nini ambacho …
Continue reading "Usiendeshwe Na Mkumbo Kwenye Chochote Kile"
Ushauri Wa Ndoa Kutoka Kwa Bilionea Charlie Munger
Charlie Munger ni Bilionea ambaye amefariki Novemba 28 mwaka 2023. Ni mtu ambaye ana hekima sana, alikuwa ni mzee aliyeishi miaka 99 alibakisha siku kadhaa tu kutimiza miaka yake 100. Huyu Munger ana madini kweli na ni mtu mwenye HEKIMA sana alikuwa anaitwa kitabu kinachotembea. Alikuwa ni mzee lakini bado alikuwa na ndoto kubwa ya …
Continue reading "Ushauri Wa Ndoa Kutoka Kwa Bilionea Charlie Munger"
Ni Wajibu Wako, Usiwalaumu Watoto
Kwa jamii zetu, wazazi wengi wanawasomesha watoto au kuwa na watoto ili waje wawasaidie baadaye.Ni kitu kizuri na matamanio ya wazazi wengi. Wazazi wanakuwa na matarajio mengi ambayo yanakuja kuwatesa hapo baadaye.Rafiki, hutakiwi kuweka mategemeo kwa watoto na usifanye kitu kwa sababu unataka urudishiwe. Mzazi ni wajibu wako kumsomesha mtoto shule nzuri na kumpa mahitaji …
Epuka Kuanza Siku Yako Na Vitu Hivi
Muda wa asubuhi ni muda ambao unapaswa kuulinda sana. Wakati mwingine, unaweza kujiharibia siku kwa sababu ya kuanza na vitu ambavyo havikupi ushindi. Epuka sana kuanza siku yako na vitu ambavyo vinakuharibia utulivu wako. Ukianza kujivuruga na vitu hasi asubuhi, utakua na siku ya hovyo sana. Epuka kuangalia au kusikiliza vitu hasi asubuhi. Hakikisha unailinda …
Ukiwa Na Kitu Hiki Shukuru Mungu
Huwa ninawashangaa watu ambao wanakuwa wanalalamika pale wanapokuwa na kazi nyingi.Mtu anaweza akawa anaomba kazi lakini akipata kazi anaanza kulalamika kwa sababu ya kazi kuwa nyingi. Ni kawaida ya binadamu, akiwa na kazi anaona haina maana na akikosa kazi anaona ina maana kwake. Huwa hatuoni thamani ya kitu pale tunapokuwa nacho ,ni mpaka pale kitakapoondoka …
Kazi Moja Ya Kiongozi
Sehemu yoyote inayoenda vizuri nyuma yake kuna kiongozi mzuri.Huwezi kuendelea kwenye eneo lolote lile kama sehemu hiyo hakuna uongozi mzuri. Uongozi mzuri unaanzia na kujiongoza wewe mwenyewe kwanza. Huwezi kuwaongoza wengine kama wewe mwenyewe maisha yako yamekushinda.Ukiweza kujiongoza wewe mwenyewe vizuri, hata wale unaowaongoza watakuchukulia wewe kama mtu wa mfano kwako. Kwenye kuwaongoza wengine, unapaswa …