Jinsi Sheria Ya Louis Vincenti Inavyofanya Kazi Kwenye Maisha

Kwenye maisha huwa tuna mambo mengi. Na tunaongea na watu wengi kiasi kwamba hatuwezi kukumbuka kila ambacho tunaongea na mtu. Kwa kuwa tuna mambo mengi, hatuwezi kukumbuka kila kitu, hapo ndipo sheria ya Louis Vincenti. Tunaendelea na hekima za Charlie Munger, Munger anasema kwamba, sema ukweli na hutahitaji kukumbuka uongo wako. Kumbuka sheria ya Louis …

Hii Ndiyo Silaha Bora Ya Kuishi Maisha Ya Uzee

Mpendwa rafiki yangu nikupendaye, Watu huwa wanajua kwamba, wakifika uzeeni ndiyo wataishi maisha mazuri. Siyo, kama ukiwa mzee ndiyo utaanza kuishi maisha mazuri. Maisha mazuri ya uzeeni unapaswa kuanza kuyaishi sasa.Kila kitu kwenye maisha kinaanza sasa. Ni kila kitu unachotaka kwenye uzee wako, anza kukiandaa sasa hivi. Kama kwa sasa maisha yako yanakupiga, usifikirie ukiwa …

Usiupoteze Mwaka Huu Kwa Namna Hii

Tunakaribia kuumaliza mwaka huu na kuingia mwaka mpya 2024. Mwaka huu ulikuwa na mipango na mawazo mazuri mengi.Yako ambayo uliyafanyia kazi na ambayo hujayafanyia kazi. Kila mwaka lazima ufanye kitu cha ushindi, usiache mwaka uishe bila kupata kitu cha ushindi. "Kila mwaka unaopita ambao hujaharibu moja ya mawazo yako pendwa ni mwaka ambao umeupoteza" Kama …

“Nimefanikiwa Kwa Sababu Hii”

Siku moja Bilionea Charlie Munger aliwahi kuulizwa kwa nini amefanikiwa, na jibu lake nilikuwa moja tu, Na alijibu hivi,"Nimefanikiwa kwa sababu nina uzingatiaji mkubwa kuliko wengine "Ukiangalia hiyo sentensi yake na wewe ukijaribu kwenye maisha yako, lazima utafanikiwa. Kwa sababu kwenye kila eneo la maisha yako, inakutaka wewe kuzingatia mambo fulani ili ufanikiwe.Kwenye eneo la …

Kama Unataka Kufanikiwa Tulia Hapa

Kila mtu anapenda kufanikiwa.Na kama kwenye maisha yako umeshajaribu vitu vingi na ukajikuta umejipata kwenye kitu fulani, shukuru Mungu na tulia hapo. Chochote kile ambacho kinafanya kazi vizuri kwako kirudie tena kukifanya.Kirudie kwa sababu kinakupa matokeo mazuri.Kitu ambacho kinakupa matokeo mazuri, endelea kukitumia na tulia hapo. Hakuna mtu ambaye anaweza kutabiri kwa usahihi kila wakati,Huwezi …

Tusingekuwa Na Utajiri Kama Watu Wasingefanya Hivi

Mpendwa rafiki yangu nikupendaye, Mpaka hapo ulipofika leo, utakua umeshafanya makosa mengi sana.Na makosa uliyofanya ulifanikiwa kujifunza na ukachagua hatua na hatimaye mpaka ukawa bora. Kila kitu ambacho kinakuja kwenye maisha yetu ni funzo. Kwa sababu, maisha ni shule na changamoto tunazokutana nazo kwenye maisha ndiyo mitihani yenyewe. Kumbuka, huwezi kwenda darasa lingine bila kufaulu …

Jinsi Ya Kujiandaa Kuyapokea Mapigo Kwenye Maisha Yako

Rafiki yangu nikupendaye, Kila mtu anapitia mapigo kwenye maisha yake.Hakuna mtu ambaye yuko salama, yaani kwake maisha ameshayapatia na hana tena changamoto kwenye maisha yake. Asili ya maisha ni kwamba, maisha yatawaumiza baadhi ya watu kwa namna fulani na kuwasaidia wengine. Kwa kuumizwa kwako, wengine wamepona. Na kwa kuumizwa wengine na wewe umepona.Kwenye maisha unapaswa …

Huu Ndiyo Mchezo Mzuri Wa Kucheza Kwenye Maisha Yako

Rafiki yangu nikupendaye, Kwenye maisha kila kitu ni mchezo. Kazi unayofanya ni mchezo na hata biashara unayofanya pia ni mchezo kwako.Ili uweze kushinda kwenye mchezo wowote ule, kwanza unapaswa kucheza mchezo unaouweza. Cheza mchezo ambao wengine ni wapumbavu kwenye mchezo huo huku wewe ukiwa na hekima ili uweze kushinda. Jua mchezo unaocheza vizuri.Usicheze mchezo ambao …

Njia Ya Kufanikiwa Hii Hapa

Kwa jamii zetu, huwa tunaamini kwamba kufanya vitu vingi ndiyo kufanikiwa.Lakini siyo kweli, kufanya vitu vingi kwa wakati mmoja ndiyo chanzo cha kutokufanikiwa. Kubobea ndiyo njia ya kufanikiwa. Kwa mfano, hata mchezaji wa mpira wa miguu uwanjani, hachezi kila namba, bali anabobea kwenye kitu namba moja. Hata kocha anayefundisha kitu fulani, huwa anabobea kwenye kitu …

Mchezo Usiokuwa Na Ukomo

Rafiki yangu nikupendaye,Mchezo usiokuwa na ukomo ni maisha. Na mchezo wa maisha ni kujifunza kusikokuwa na ukomo, kama unataka kupata ushindi. Kama unataka kupata ushindi kwenye maisha, kila siku wewe kuwa mtu wa kujifunza. Hakikisha kabisa, jana yako haifanani na leo. Yaani kila siku kuwa mtu bora zaidi ya jana.Bila ya kuwa na mfumo mzuri …

Design a site like this with WordPress.com
Get started