Pata picha kama kungekuwa na mtu ambaye hafi, anaweza kufanya kila kitu peke yake, yupo kila mahali. Huyo mtu angekuwa wa namna gani?Kwenye maisha, ukomo ndiyo unaleta ladha ya maisha. Hata uhai wetu una ukomo. Unapopata nafasi, unatakiwa kuishi vizuri kwa sababu unajua utakufa. Ukomo ndiyo unaleta maana ya kitu kwa sababu kitu chochote ambacho …
Continue reading "Maisha Yangekuwaje Kama Kusingekuwa Na Kitu Hiki?"