Breki Ya Mahusiano Inayokuzuia Usifanikiwe

Mwanamafanikio, Hakuna kazi kubwa hapa duniani kama kuishi na kuhusiana na watu. Watu ni wagumu kuelewa na unakutana na watu ambao wana mitazamo tofauti na wewe. Mazingira tofauti ambayo anayajua yeye mpaka mje kuelewana inakuwa ni kazi kubwa. Hakuna mtu ambaye anaweza kusema yeye kwenye eneo la mahusiano amelipatia, yaani anao uwezo wa kusema na …

Usivumilie Kitu Hiki Kwenye Maisha Yako

Rafiki, Usivumilie kitu chochote ambacho hukipendi kwenye maisha yako, hata kama kila mtu anavumilia, hata kama kila mtu anachukulia kawaida.Kama kitu hukipendi, au kama unaona siyo viwango vyako, usikubaliane nacho, wewe fanya kazi kupata kile unachotaka, kile ambacho ni viwango vyako.Nenda hatua ya ziada kuhakikisha unapata kile unachotaka kwenye maisha yako na siyo kuvumilia. Waliozoea …

Kesho Utavaa Nguo Gani?

Rafiki, Siyo mara moja ukiamka asubuhi huwa unaanza kujiuliza swali hivi leo nitavaa nguo gani? Siyo kwamba nguo hauna, nguo unazo nyingi kiasi kwamba hujui hata uvae ipi kulingana na mahitaji ya siku yako. Kitendo cha kuamka na kuanza kufikiria utavaa nguo gani tayari kinakuwa ni breki kwako katika uzalishaji wa siku na hata mafanikio …

Athari Za Kwenda Kinyume Na Makubaliano

Rafiki, Ukiona watu wanagombana basi jua mmoja kashindwa kwenda kadiri ya makubaliano au ameenda kinyume na makubaliano. Kwenda kinyume na makubaliano ndiyo chanzo cha matatizo mengi kwenye maisha yetu. Kwenye mahusiano, kila mtu anakuwa na makubaliano na mwenzake kwamba, tumekubaliana hivi, na tutaenda hivi na endapo mtu atakwenda kinyume na matatizo ndiyo yanaanzia hapo. Kila …

Kabla Hujafikiria Kununua Fikiria Kuuza

Rafiki yangu nikupendaye, Sina uhakika kama itakufaa lakini kabla hujafikiria kununua kitu, fikiria kwanza kuuza. Unataka kununua kitu fulani , fikiria kwanza nitauza nini ili nipate fedha ya kununua kile unachotaka? Kwa njia hii ya kufikiria cha kuuza kwanza, itakusukuma kupambana kuuza ili upate kile unachotaka. Usifikirie kutumia kile ulichonacho kwanza, bali fikiria kwanza nini …

Ukizidishiwa Chenchi Utairudisha?

Leo asubuhi, nilikuwa na mkutano na mmoja wa washiriki katika huduma yetu tunayotoa ya CHUO CHA MAUZO ambaye anaishi nchini Uingereza. Katika maongezi yetu, aliniambia kwamba, uaminifu katika nchi anayoishi ni mkubwa sana.Kwa mfano, hivi karibuni alirudishiwa chenchi yake ambayo ilizidi katika huduma aliyolipia na siyo mara moja ni zaidi ya mara moja. Kwa upande …

Hakikisha Vitu Hivi Viwili Vinaendana Kwako

Rafiki, Kinachokufikisha wewe kwenye mafanikio ni ile sifa yako, jinsi ambavyo watu wanakuchukulia. Watu wanakuchukulia vile wanavyotaka wao kwa sababu wewe umewaonesha wewe ukoje.Na hii inatokana na namna unavyofanya mambo yako, Wala siyo kwa jinsi unavyosema unafanya, bali unavyofanya. Rafiki kama unataka kufanikiwa, hakikisha vitu viwili vinaendana kwako navyo ni maneno na matendo. Usiwe mtu …

Weka Kazi Ili Ufanikiwe

Rafiki,Iko wazi kabisa na wewe unajua kwamba, kama unataka kufanikiwa kwenye kitu chochote kile, lazima uweke kazi. Usitegemee kupata matokeo ambayo hutaki kuyafanyia kazi.Ni rahisi kukwepa majukumu yako, lakini ni ngumu kukwepa matokeo yake. Kama unajua unachofanya siyo sahihi kwa nini unaendelea kufanya?Kama unajua siyo kweli kwa nini unasema? Huwa tunakua kabisa nini tunachotakiwa kufanya …

Kama Hakiingizi Fedha Siyo Uwekezaji

Rafiki, Huwa tuna changanya kati ya mali na uwekezaji. Maana rahisi ya uwekezaji ni kile kinachoingiza fedha mfukoni. Kama una uwekezaji na hauingizi fedha huo siyo uwekezaji. Uwekezaji ni kile kinachoingiza fedha na siyo kutoa fedha mfukoni. Kwa mfano, nyumba ya kuishi siyo uwekezaji kwa sababu unatoa hela mfukoni kuihudumia na siyo nyumba kukuletea hela. …

Hakuna Mtu Mwenye Haya Maisha

Rafiki, Unapopitia changamoto kwenye maisha, unaweza kuona kama vile dunia ina kisirani na wewe. Unaweza kuona kama wengine maisha yao ni shwari na hawana kinachowasumbua. Ukweli ni kwamba, kwenye haya maisha kila mtu ana kitu kinachomsumbua, wako ambao wanasumbuliwa na maradhi, wako ambao wanasumbuliwa mwanamke, mwanaume, biashara, kazi, fedha na mengine yanayofanana na hayo.Sina uhakika …

Design a site like this with WordPress.com
Get started