Rafiki yangu,Kwenye kitabu cha 12 Rules for Life mwandishi Jordan Peterson anatushirikisha mambo muhimu ya kuzingatia katika maisha yetu. Na baadhi ya mambo ambayo mwandishi anatushirikisha ni kama ifuatavyo; Sema ukweli. Nafikiri hili halina haja ya maelezo marefu, sema ukweli mara zote, usidanganye hata kama ni kitu kidogo kiasi gani, sema kweli na kweli itakuweka …
Continue reading "Mambo Matano Muhimu Ya Kuzingatia Kwenye Maisha Yako"