Rafiki yangu nikupendaye, Mwandishi mmoja aliwahi kusema, uongo ukisemwa mara nyingi, na kurudiwa rudiwa kila mara watu wanaanza kuuamini kama ukweli. Mpaka sasa umeshasikia uongo gani ambao umeshakuwa kweli kwako?Kwa mfano, uongo ambao umesemwa katika fedha ni kwamba, huwezi kuishi na kufanikiwa pasipo kukopa.Uwongo huu unasemwa mara nyingi kwenye jamii kiasi cha watu wengi kuamini …
Continue reading "Haya Ndiyo Madhara Ya Uongo Kusemwa Mara Nyingi"