Haya Ndiyo Madhara Ya Uongo Kusemwa Mara Nyingi

Rafiki yangu nikupendaye, Mwandishi mmoja aliwahi kusema, uongo ukisemwa mara nyingi, na kurudiwa rudiwa kila mara watu wanaanza kuuamini kama ukweli. Mpaka sasa umeshasikia uongo gani ambao umeshakuwa kweli kwako?Kwa mfano, uongo ambao umesemwa katika fedha ni kwamba, huwezi kuishi na kufanikiwa pasipo kukopa.Uwongo huu unasemwa mara nyingi kwenye jamii kiasi cha watu wengi kuamini …

Kemikali Inayofanya Wewe Ujisikie Vizuri Kwenye Tabia Fulani

Rafiki yangu nikupendaye, Jana tulijifunza kitu kinachofanya tabia kuwa sugu ni ile hali ya KURUDIA. Ukitaka tabia fulani iwe sehemu ya maisha yako basi rudia kuifanya kila wakati. Kitu Kikubwa Kinachofanya Tabia Kuwa Sugu KwakoUnafikiri kwa nini watu huwa wanapenda kurudia sana kile walichofanya na kuwa tabia? Ni kwa sababu ya kemikali ya Dopamine ndiyo …

Kitu Kikubwa Kinachofanya Tabia Kuwa Sugu Kwako

Rafiki yangu nikupendaye,Huwa tunatengeneza tabia kisha tabia zinatutengeneza na kuwa sehemu ya maisha yetu. Na kile ambacho tunafanya sasa, kiwe ni kizuri au kibaya ni kwa sababu ya tabia tulizojijengea au tulizokuwa nazo. Hakuna kitu ambacho mtu anafanya halafu siyo tabia yake. Tuna tabia ambazo tunazo ni nzuri na kuna tabia ambazo tunazo siyo nzuri. …

Fuatilia Ahadi Zako

Rafiki, Kuna ahadi nyingi sana ambazo unazo mpaka sasa lakini ulizokamilisha ni chache sana.Ziko ahadi ambazo ukizifuatilia basi zitakusaidia sana wewe kupata kile unachotaka. Ziko ahadi ambazo ni za kuwafuatilia watu wengine. Na ziko ahadi ambazo ni za kujifuatilia wewe mwenyewe. Mambo yako huenda hayaendi vile unavyotaka kwa sababu ya ahadi ambazo umepewa lakini huzifuatilii.Ushindi …

Ukuaji Wowote Ule Ni Huu Hapa

Rafiki, Ukuaji wowote ule rafiki yangu nikupendaye ni kujisukuma. Kila kitu kwenye kinakuja kwa njia ya kujisukuma. Usitegemee utapata mafanikio makubwa kama hujisukumi. Asili yetu sisi binadamu ni wavivu, hivyo bila kuweka kazi na kujisukuma zaidi hatuwezi kupiga hatua. Watu wengi ambao wanafanya makubwa, huwa wanajisukuma sana kufanya kazi. Wanafanya kazi kwa sababu wanakuwa na …

Utahukumiwa Kwa Tabia Hizi

Rafiki, Watu wakitaka kujua wewe ni nani, hawapati hata shida wanaangalia tu marafiki zako wakoje na wanapata majibu ya wewe ni nani. Kitu kimoja ambacho nataka uondoke nacho hapa ni kwamba, utahukumiwa Kwa tabia za wale wanaokuzunguka. Unapaswa kujiuliza wewe mwenyewe, unazungukwa na watu wa aina gani? Watu wanaokuzunguka wana tabia gani? Unapojenga sifa zako, …

Kirudie Tena Kama Kinafanya Kazi

Rafiki,Kabla hatujajua njia ya kwenda sehemu fulani, huwa tunabudi na hata wakati mwingine kupotea. Ni kama vile kupata jibu la hesabu, ukishajua njia sahihi ya kupata jibu, huna haja ya kuhangaika na kutafuta njia nyingine mpya badala yake unatumia ile njia inayofanya kazi na kuleta matokeo mazuri.Kama kitu kinafanya kazi, hakikisha unakiendeleza ili upate matoke. …

Hii Haijawahi Kwenda Bure

Rafiki, Juhudi yoyote unayoweka kwenye kitu chochote kile, haijawahi kwenda bure. Kama unataka matokeo mazuri zaidi, weka juhudi kwenye kile unachofanya.Kama muda wote ukiweka kwenye kazi, lazima zile juhudi ulizoweka zitakulipa.Watu wengi bado hawaweki juhudi za kweli ndiyo maana hawapati matokeo mazuri. Kama umeajiriwa, tumia muda wa mwajiri vizuri kuzalisha na kuleta thamani kubwa.Kama umejiajiri, …

Jenga Utamaduni Huu Kwenye Maisha Yako

Rafiki, Kila sehemu inapaswa kuwa na utaratibu na watu wanafuata utaratibu huo.Hakuna sehemu ambayo huwa inajiendea tu kienyeji, bali kuna kuwa na utaratibu ambao unakuwa ni utamaduni wa eneo hilo na watu wanafuata. Kama una biashara yako, jenga utamaduni wa biashara yako, ambapo kila mtu anapaswa kufuata utamaduni huo na siyo kila mtu kuja na …

Design a site like this with WordPress.com
Get started