Jiweke Kitimoto Wewe Mwenyewe

Kuna wakati mwandishi wa kitabu cha How I Raised Myself from Failure to Success in Selling Frank Bettger alikuwa anapitia kipindi kigumu sana cha mauzo duni kwenye biashara yake. Familia yake ilikuwa inahitaji mahitaji mbalimbali na yeye hana hela. Siku moja aliamua kujiweka kitimoto yeye mwenyewe kwa hali ambayo anapitia. Aliwasha gari na kwenda nje …

Msingi Mkuu Wa Maisha

Rafiki yangu nikupendaye, Msingi mkuu wa maisha ya mafanikio ni uadilifu. Unapaswa kuwa na uadilifu usiovunjika wala usiotiliwa shaka kabisa. Uadilifu ni hali ya kutokuwa na rangi mbili, yaani maisha yako ya faraghani na hadharani yasitofautiane. Ukisema unaishi uadilifu, siyo tu kwa nje watu wanakuona hata maisha yako ya siri ambayo watu hawakuoni. Unakuwa na …

Watu Hawajawahi Kuishiwa Kitu Hiki

Rafiki, Usipokee ushauri ambao haujaomba kwa mtu.Na pili, usitoe ushauri ambao haujaombwa kutoa ushauri. Unaweza kuona mtu anahitaji kweli ushauri, lakini kama hajakuomba usimpe ushauri kwa sababu hatoufanyia kazi. Nimeanza kukuambia hivyo kwa sababu watu hawajawahi kuishiwa maoni.Ukimwomba mtu akupe ushauri hakosi huwa hakosi maoni ya kukupa. Watu wako bize kutoa maoni yao juu ya …

Hii Ndiyo Tabia Ya Watu Kama Ulikuwa Huijui

Rafiki, Watu wakiwa na shida watanyenyekea sana ili wapate kile wanachotaka. Watu wakiwa katika mchakato wa kutafuta kitu mwanzoni wanakuwa na utii sana, wanajituma na kufuata misingi yote. Hata katika mahusiano tunaona, watu wakiwa katika uchumba, kila mmoja anapenda kuonekana yuko vizuri mbele ya mwenzake. Lakini pale ambapo kila mmoja anapokuwa ameshapata kile alichokuwa anataka, …

Wewe Ndiye Unayeumia Zaidi

Rafiki, Ni kawaida yetu sisi binadamu kutoelewana na baadhi ya watu ambao tunahusiana nao. Na kamwe hatuwezi kuwa sawa muda wote, kuna wakati hali ya kutoelewana inakuja tu.Kuna mwingine anaweza kukuchukia tu kwa sababu zake mwenyewe. Na huku wewe hata ukiwa hujui kama umemkosea, utashangaa mahusiano yanakuwa hafifu, mtu ambaye mlikuwa katika mahusiano mazuri anaanza …

Washangaze Watu

Rafiki, Kwenye kila eneo la maisha yako, hakikisha unawashangaza watu.Je, unashangazaje watu sasa? Unawashangaza watu kwa kwenda hatua ya ziada. Unafanya kazi, kiasi kwamba wale unaofanya nao wanakuogopa. Yaani hakuna ambaye anaweza kuvaa viatu vyako. Yaani thamani yako ni kubwa kiasi kwamba hakuna anayekukupuuza wala kushindana na wewe. Washangaze watu kwa kuwahi kazini kila siku. …

Watu Wanapenda Uhakika

Sisi binadamu ni watu wasiwasi, tokea watu waliotutangulia tokea kale, walikuwa wanaishi katika mazingira ambayo yaliwafanya waishi kwa wasiwasi muda wote. Kulikuwa na wanyama wakali, hivyo watu walikuwa wanaogopa sana, wana wasiwasi na kifo hivyo wanapoona sehemu kuna dalili ya kifo lazima wafe na wasiwasi. Kila mmoja wetu ana wasiwasi juu ya jambo fulani, hata …

Ondoka Kwenye Ukomo

Rafiki, Hongera sana rafiki yangu nikupendaye kwa kufika hapo ulipo. Ni hatua fulani kuwa hapo ulipo, kwani siyo wengi ambao wamefika hapo ulipo. Sina uhakika kama itakufaa lakini, unaweza kwenda zaidi ya hapo. Hapo ulipo siyo kwamba ndiyo mwisho, ondoa nukta au mwisho ULIONAO na kuweka koma yaani maisha yanaendelea. Kuna wakati tunajiwekea nukta sisi …

Ukishaamua Kwenda Sehemu Hii Nenda

Rafiki, Ukishaamua kwenda juu, nenda juu na usirudi nyuma tena. Ukiamua kufanya jambo, fanya na usiwe na hali ya kujiuliza niende au nisiende, nifanye au nisifanye. Ukishaamua kwenda mbele nenda, usirudi nyuma tena. Kwenye maisha ukishakuwa na chagua la pili utaridhika katika kuwajibika na chaguo la kwanza. Kuwa na nia mbili, siyo nzuri. Mara zote …

Utaripoti Nini Leo?

Rafiki yangu nikupendaye, Maisha yetu ni ripoti. Ili uweze kuripoti ni lazima kwanza ufanye.Huwezi kuripoti kama huna ulichofanya. Na ili ripoti iwe nzuri ni lazima uwe na orodha ya mambo ya kufanya ndani siku yako. Chukulia kwamba kila siku unapoamka unatakiwa kwenda kufanya kile unachopaswa kufanya na jioni kutoa ripoti. Kama unajua kuna ripoti unapaswa …

Design a site like this with WordPress.com
Get started