Tumetoka kwenye zama za nenda shule, soma kwa bidii, pata alama nzuri na utapata kazi ya uhakika. Kipindi cha nyuma, AJIRA kwa mtu aliyesoma ilikuwa ni kitu cha uhakika sana. Na watu walivutiwa na hilo kiasi cha watu wengi kupambana na wao wapate elimu nzuri ili wapate uhakika wa kazi. Kwenye jamii, mtu akienda kuajiriwa …
Continue reading "Kitu Wanachotafuta Watu Wengi Kwenye Maisha"