Rafiki yangu nikupendaye, Huwezi kufanikiwa kwenye maisha kama unafanya kazi. Watu wanaopenda wanachofanya huwa hawafanyi kazi. Kwa nini huwezi kufanikiwa kwenye maisha kama unafanya kazi? Kwa sababu kazi inachosha, kazi ni mzigo na kila mtu anapenda kukimbia kazi. Utafanikiwa kwenye maisha yako, kama unafanya unachopenda kufanya. Kupenda unachofanya inakuwa siyo kazi tena.Bali kwako inakuwa kama …
Continue reading "Huwezi Kufanikiwa Kwenye Maisha Kama Unafanya Kazi"