Kwenye maisha, watu wengi wamejaa maarifa, lakini wachache sana wana hekima. Tofauti kati ya wawili hawa ni kubwa kuliko inavyoonekana. Hekima ni kufanyia kazi kile unachokijua. Kwa maneno mengine, hekima ni maarifa yaliyoingia kwenye vitendo. Si maneno, si hoja ndefu, bali ni maamuzi sahihi yanayoonekana kwa matendo. Hekima siyo kusema, ni kuonyesha.Si kueleza kinachofaa kufanyika, …
Continue reading "HEKIMA NI KUISHI UNACHOKIJUA, SIO KUKISEMA"