Rafiki, Kuna watu ambao wanakuwa kama wana "aleji" ya kufanikiwa kwenye maisha yao. Hata uwaoneshe ushuhuda, kwa kuwa hawataki bado wataendelea kushikilia msimamo wao. Kuna watu ambao wanapenda ushindi, wanapenda kufanikiwa kwenye kila wanalotaka. Na watu hawa kwa sababu wameamua kupata ushindi, lazima watatafuta sababu ya ushindi. Mtu akiamua kufanya jambo fulani, lazima atahakikisha anafanikiwa.Mtu …
Continue reading "Sababu Inayowapelekea Watu Wengi Kufanikiwa"