Maamuzi Yoyote Yana Gharama

Rafiki, Kama huendi mbele maana yake unarudi nyuma. Na kama hurudi nyuma basi unaenda mbele.Hakuna kusimama, ni aidha unaenda mbele au unarudi nyuma. Uko hapo ulipo sasa kwa sababu ya maamuzi uliyofanya huko nyuma. Hivyo basi, kwa maamuzi yoyote utakayofanya au uliyowahi kufanya lazima yana gharama ndani yake. Hakuna maamuzi yoyote yale yawe ni mazuri …

Mfahamu Mtu Ambaye Hana Changamoto Duniani

Rafiki yangu nikupendaye, Wakati unapitia changamoto fulani fulani kwenye maisha yako, unaweza kuona kama vile dunia ina kisirani na wewe.Huku ukiwaangalia wengine jinsi walivyo kwa nje, unaweza kusema kama wao hawana changamoto ila wewe tu ndiyo dunia inakuandama. Lakini, ukija katika uhalisia, hakuna mtu ambaye hana changamoto hapa duniani.Kila mmoja wetu ana changamoto fulani anayopitia …

Epuka Mambo Haya

Rafiki, Kuna mambo mengine yanatokea katika maisha yetu na wasababishaji wakubwa ni sisi wenyewe. Vitu ambavyo unapaswa kuvifanyia kazi mara kwa mara ni ; Uvivu, mara zote epuka uvivu. Uvivu ni mbaya na unaepukwa kwa kufanya kazi. Uzembe, mara zote epuka kuwa mzembe.Uzembe wako binafsi unaleta madhara kwako binafsi lakini pia hata kwa watu wengine …

Kama Umeamka Na Huna Malengo Fanya Hiki Hapa

Rafiki, Kuna msemo mmoja unasema ,Kama umeamka na huna malengo ya siku, rudi kitandani ukalale. Mtu anayejitambua lazima awe ana malengo ya siku. Kabla hajatoka nyumbani kwenda kuwatumikia wengine, lazima kwanza awe ana malengo yake binafsi. Kwa nini ni muhimu kuwa na malengo binafsi? Kwa sababu, malengo binafsi ndiyo ushindi wako wa siku unaopaswa kuupambania.Usipokuwa …

Haraka Ya Kukamilisha Mambo

Rafiki, Kila mmoja huwa ana malengo yake. Na malengo mengine huwa yanachukua muda na mengine hayachukui muda na hii ina tegemea na aina ya malengo husika. Kwenye kukamilisha malengo, watu huwa wanafanya kukamilisha malengo haraka hasa yale yanayohitaji fedha. Pale mtu anapotaka kukamilisha malengo haraka, anajikuta hana hela na mwisho anakimbilia kukopa. Watu wanakuwa wanajiingiza …

Rudi Kazini

Rafiki, Kuna wakati tunafanya vizuri na hata sisi wenyewe tunafurahi kwa kazi nzuri ambayo tumefanya.Siyo tu sisi wenyewe, lakini pia hata wale waliotuzunguka wanapenda kutupongeza kwa yale mazuri tuliyofanya. Ni kitu kizuri kufanya hivyo kwao kama kutimiza wajibu wa kibinadamu. Wakati mwingine sifa zinaweza zikakulewesha na kupata kiburi.Ukajikuta unaanguka chini. Kwa sababu kile kilichokupandisha ndicho …

Ushindi Pekee Unapatikana Hapa

Rafiki yangu nikupendaye, Ushindi kwenye maisha unapatikana kwenye vile vitu ambavyo viko ndani ya uwezo wako. Ushindi wa uhakika, unapatikana ndani yako na siyo ule wa kusubiri wengine ndiyo na wewe upate ushindi. Pambana kujenga kile unachotaka, pambana na wewe mwenyewe, jichangamotishe kwani bila kufanya hivyo hakuna ushindi utakaoupata. Hakuna mtu atakayekuja kukuletea kile unachotaka …

Ushindi Pekee Unapatikana Hapa

Rafiki yangu nikupendaye, Ushindi kwenye maisha unapatikana kwenye vile vitu ambavyo viko ndani ya uwezo wako. Ushindi wa uhakika, unapatikana ndani yako na siyo ule wa kusubiri wengine ndiyo na wewe upate ushindi. Pambana kujenga kile unachotaka, pambana na wewe mwenyewe, jichangamotishe kwani bila kufanya hivyo hakuna ushindi utakaoupata. Hakuna mtu atakayekuja kukuletea kile unachotaka …

Jitoe Bila Kujibakiza Kwenye Kile Unachotaka

Rafiki, Kama unataka kufanikiwa kwenye maisha yako, usiingie kufanya kitu kwa kusita sita. Yaani unakuwa na ile hali ya kusitasita. Na wasiwasi ni moja ya adui mkubwa kwenye kuchukua hatua. Adui mkubwa wa imani yako ni mashaka. Kama umeamua kufanya kitu, fanya kwa kujitoa.Ingia mazima yaani go all in. Kila kitu kinawezekana kama ukiwa na …

Tabia Ndiyo Zinakukwamisha

Rafiki yangu nikupendaye, Kwa kitu chochote kile unachofanya sasa ni matokeo ya tabia ambazo ulijijengea. Kwenye maisha kila kitu ni tabia. Ni ngumu asubuhi uamke halafu ukafanye kitu ambacho siyo mazoea yako kufanya. Maisha yetu yote ni mkusanyiko wa tabia ambazo tumejijengea. Hivyo basi, kinachokukwamisha wewe kurudi nyuma ni tabia ambazo umejijengea. Na kama unataka …

Design a site like this with WordPress.com
Get started