Kwenye maisha, tunapata kile ambacho tunapigania, kile ambacho tunaweka mawazo na nguvu zetu muda mwingi. Hivyo kuishi maisha unayotaka, kazana na yale unayotaka na mengine achana nayo. Kazana na yale unayoyataka na utapiga hatua kwenye maisha yako.Jiepushe na yale ambayo siyo muhimu kwako na weka fokasi kwenye yale ambayo ni muhimu kwako. Utapata kile unachokipambania, …
Utachelewa Kama Hujui
Kama hujui kile unachotaka kwenye maisha yako, utachelewa sana kupata kile unachotaka. Ni kama vile unavyotaka kitu, usipokuwa na vigezo ya vitu unavyotaka, utajikuta hupati kile unachotaka. Kwenye safari ya mafanikio, kitu cha kwanza ni kujua unataka nini. Ukishajua unataka nini, huwezi kuchelewa. Ambaye hajui anataka nini, hawezi kupata.Ukijua nini unataka, utapambana kukipata. Ni muhimu …
Andika Halafu Usimtumie
Kuna wakati unapatwa na hasira kama binadamu pale mtu anapokuwa amekufanyia ndivyo sivyo. Unatamani umjibu vile unavyotaka kadiri ya hisia za hasira ulizokuwa nazo. Na njia nzuri ya kufanya hivyo, ni kumwambia kwa njia ya maandishi.Yale yote unayotaka kumwambia na kumsema ili hasira zako ziishe mwambie kwa njia ya maandishi lakini usimtumie. Mwandikie lakini usimtumie. …
Maisha Yatabadilika Kwa Kitu Hiki Hapa
Rafiki, Kila mmoja wetu anapenda kubadilisha maisha yake. Je, kitu gani ambacho kinaweza kubadilisha mwenendo wa maisha yako? Jibu;Maisha yako hayatabadilika kwa vitu unavyojua.Bali maisha yako yatabadilika kwa vitu unavyofanya. Mpaka sasa unajua vitu vingi, lakini vingapi vimeshakuletea matokeo ? Vile unavyofanya, ndivyo vitakuletea matokeo mazuri unayotaka kuyaona. Vile ambavyo unavijua mpaka sasa vimelisaidiaje? Mwisho, …
Maisha Yatabadilika Kwa Kitu Hiki Hapa
Rafiki, Kila mmoja wetu anapenda kubadilisha maisha yake. Je, kitu gani ambacho kinaweza kubadilisha mwenendo wa maisha yako? Jibu;Maisha yako hayatabadilika kwa vitu unavyojua.Bali maisha yako yatabadilika kwa vitu unavyofanya. Mpaka sasa unajua vitu vingi, lakini vingapi vimeshakuletea matokeo ? Vile unavyofanya, ndivyo vitakuletea matokeo mazuri unayotaka kuyaona. Vile ambavyo unavijua mpaka sasa vimelisaidiaje? Mwisho, …
Kila Mtu Anapitia
Rafiki, Usijione kama wewe mwenyewe ndiyo unapitia changamoto fulani kwenye maisha yako, jua kwamba kila mtu anapitia hauko peke yako. Inawezekana wewe changamoto yako ni fedha, lakini kuna mwingine changamoto ya fedha hana bali mapenzi yanamsumbua. Hizi shida ni sehemu ya maisha yetu, huwa hazikwepeki hata kidogo. Hakuna ambaye anaweza kubandika bango nyumbani kwake, kwamba …
Kinatosha
Rafiki, Ulichonacho kinatosha kama ukikitumia vizuri vya kutosha.Mara nyingi wengi huwa hawatumii vizuri vile walivyo. Unachopaswa kujua ni kwamba, ulichonacho kinatosha kama ukikitumia vizuri vya kutosha.Jiulize tu, hivi kile ulichonacho umekitumia vizuri vya kutosha? Una vitu vingi vizuri, lakini hujavitumia vizuri vya kutosha.Kazi yako kubwa ni kutumia vizuri vile ulivyonavyo ili uweze kupata matokeo unayoyataka. …
Inafanya Kazi
Kabla hujasema kitu fulani hakifanyi kazi, kwanza kifanyie kazi. Watu wengi wamekuwa ni waumini wa kurahisisha kitu kwa maneno kabla hata hawajakifanyia kazi kwa vitendo.Kama unasikia watu wengine wakisema kwamba hakifanyi kazi, jaribu na wewe kuthibitisha kwa vitendo. Usikubali kuingia kwenye mkumbo, kwani mkumbo huwa unawapoteza watu wengi. Vitu vingi unavyoviona havifanyi kazi, ni kwa …
Jinsi Ya Kuihudumia Familia Yako Huku Ukiwa Kaburini
Kama una gari, sheria inakutaka kwamba, uwe na bima ya gari.Ni wamiliki wa magari wamekuwa wanafanya hivyo mara zote. Na utaweza kumkuta mtu ana bima ya gari, lakini hana bima yake binafsi. Hakuna anayeijua kesho, hata mtunzi wa kalenda.Unapaswa kuyaandaa maisha yako ili uishi kwa kujiamini bila wasiwasi. Unaweza ukapata changamoto ya ulemavu wa kudumu …
Continue reading "Jinsi Ya Kuihudumia Familia Yako Huku Ukiwa Kaburini"
Ungekuwa Mwenyewe Ungefanya?
Rafiki yangu nikupendaye, Katika suala la matumizi, huwa tunatengeneza tabia kisha, tabia zinatutengeneza.Kinachomaliza fedha zako, ni tabia za matumizi ambazo umezianzisha. Matumizi mengine ambayo tunafanya, mengi tunafanya kwa sababu ya kuiga tu. Tunataka na sisi tuonekane kama wengine. Usipokuwa na udhibiti wa matumaini yako, huwezi kutoboa au kupiga hatua kubwa ya kifedha. Kwa sababu, kinachomaliza …