Mambo Muhimu Niliyojifunza Katika Kitabu Cha What Winners DoTo Win

Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa u mzima wa afya na unaendelea vizuri kuboresha maisha yako lakini pia, kugusa maisha ya watu wengine. Mpendwa rafiki, napenda kukualika tena katika makala yetu ya leo ambapo leo nitakushirikisha mambo muhimu niliyojifunza katika kitabu cha What Winners Do …

Kitu Muhimu Unachopaswa Kuwa Nacho Makini Kwenye Maisha Yako

Habari mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matumaini yangu kuwa hujambo na unaendelea vizuri kutimiza wajibu wako wa kila siku. Leo ni siku nyingine ya kipekee kwetu tumepewa zawadi hii bure kabisa hivyo basi, ni muhimu kuitumia vizuri siku yetu ya leo. Mpendwa rafiki, napenda kukualika tena katika makala yetu ya …

Kitu Ambacho Binadamu Hapendi Kuambiwa Katika Maisha Yake

Habari ya wakati huu mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Natumaini unaendelea vizuri katika kutekelza wajibu wako wa kila siku. Leo ni siku ya kipekee sana kwetu hivyo tutumie vizuri siku hii ya leo. Mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao huu leo ni siku ya kwanza ya mwezi wa wa kumi na …

Ujumbe Muhimu Kwako Kutoka Kwa Bilionea Richard Branson

Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni imani yangu kuwa uko salama rafiki na unaendelea vizuri katika harakati zako za kila siku kuhakikisha unapata kile unachokitaka kwenye maisha yako. Tunamshukuru Mungu kwa zawadi ya siku hii ya leo ameweza kutustahilisha tena kuiona siku hii ya leo. Kwahiyo rafiki, tutumie …

Jifunze Mambo Muhimu Ya Malezi Kwa Watoto Katika Kitabu Cha Selfish Reasons To Have More Kids

Habari ya wakati huu mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao huu wa Kessy Deo? Ni imani yangu kuwa uko salama na unaendelea vizuri kutimiza wajibu wako. Napenda kukukaribisha tena siku hii ya leo niweze kukushirikisha yale mazuri niliyokuandalia. Ambapo leo nitakushirikisha mambo niliyojifunza katika kitabu cha selfish reasons to have more kids. Mambo Niliyojifunza Katika …

Kitu Pekee Ambacho Huwezi Kukimaliza Katika Maisha Yako

Habari ya wakati huu mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Natumaini uko vizuri na unaendelea vema kutimiza wajibu wako wa kila siku. Ni matumaini yangu kuwa umeanza wiki yako vizuri ukiwa na hamasa kubwa na mtazamo chanya wa kwenda kufanya mambo kubwa ndani ya juma hili. Rafiki, usisahau kutumia muda wako vizuri …

Soma; Simulizi Nzuri Ya Kusisimua Yenye Mafundisho Mazuri Ndani Yake

Habari za leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Naamini mu wazima afya na mnaendelea vizuri katika kusukuma gurudumu hili la maisha. Karibu sana rafiki na katika makala yetu ya leo nitakushirikisha simulizi nzuri yeye mafundisho kwenye maisha yetu. Nakusihi tusafiri pamoja ili uweze kujifunza mazuri kupitia hadithi hii. Kulikua na baba …

Mambo Muhimu Niliyojifunza Katika Kitabu Cha The Total Money Makeover

Habari ya leo Mpendwa Rafiki na Msomaji wa mtandao wa Kessy Deo. Natumaini hujambo na unaendelea vizuri Rafiki hivyo basi, napenda kutumia nafasi hii kukualika katika makala yetu ya leo ambapo leo nitakushirikisha mambo ishirini niliyojifunza kupitia kitabu cha The Total money makeover. Mambo muhimu niliyojifunza katika kitabu cha The Total money makeover kilichoandikwa na …

Njia Bora Ya Kumteka Na Kumfukuza Mteja Katika Biashara Yako

Habari mpendwa rafiki na msoamji wa mtandao wa Kessy Deo? Ni matuamini yangu kuwa uko salama na unaendelea vizuri katika maisha yako. Kama uko katika changamoto au wakati mgumu katika maisha yako pole sana endelea kukabiliana nayo na ujue ya kwamba hakuna hali ya kudumu katika maisha yako vumilia tu hilo nalo litapita na uatarudia …

Huyu Ndiye Mkombozi Wa Maisha Yako Atakaye Kuletea Mabadiliko Kuanzia Sasa

Habari ya wakati huu mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Natumaini unaendelea vizuri kiafya lakini pia nategemea unaendelea vizuri kuboresha maisha yako. Kila siku ni siku ya kukua katika maisha yako usikubali siku ipite bila kufanya badiliko lolote katika maisha yako. Kua kimwili, kiakili na kiroho usiache wala kudharau vitu hivi vitatu …

Design a site like this with WordPress.com
Get started