Habari ya leo mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Natumaini uko vizuri na umeianza siku vizuri kabisa ukiwa na mtazamo chanya wa kwenda kufanya makubwa kabisa katika maeneo yetu ya kazi na hatimaye kuijenga dunia na kuwa sehemu salama. Hongera pia kwa zawadi ya siku hii ya leo rafiki yangu ni vema …
Continue reading "Hivi Ndivyo Unavyoweza Kutumika Kama Baraka Kuendeleza Dunia"