Habari gani mpendwa rafiki na msomaji wa mtandao wa Kessy Deo? Hongera sana kwa siku hii nyingine bora ya leo na nenda kaitumie vizuri rafiki yangu. Nikualike katika makala yetu ya leo ili tuendele kujifunza rafiki. Aliyekuwa mtawala wa roma na mwanafalsafa wa falsafa ya ustoa Marcus Aurelius aliwahi kusema kuwa sisi tunajipenda wenyewe kweli …
Continue reading "Amini Katika Hili Hata Kama Hakuna Anayekusapoti"